Muziki
AUDIO: Harmonize ameachia wimbo wake wa ‘UNO’ Diamond Zari watajwa
AUDIO: Harmonize ameachia wimbo wake wa 'UNO' Diamond Zari watajwa
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Harmonize ambaye anamiliki lebo yake ya Konde Gang ameachia rasmi audio ya wimbo wake wa ‘UNO’
Lakini katika wimbo huo amewataja wasanii mbalimbli akiwemo aliyewahi kuwa boss wake Diamond Platnumz lakini pia aliyewahi kuwa mpenzi wa Diamond Zari mbali na hao pia Ray na Gwajima,na Fally Ipupa wametajwa kwenye wimbo huo.
Audio ya wimbo huo imefanywa na maproducer wawili ambao ni HUnter na Bonga.
By Ally Juma,