Zuri Music ni Moja kati ya wasanii chipukizi wa Muziki wa Bongo Fleva anayekuja kwa kasi kwenye tasnia hiyo, Na habari nzuri ni kuwa amefungua mwaka 2024 kwa kuachia ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘RAHA’.
Unaweza kuisikiliza ngoma hiyo kwa kubofya link hapa chini, Pia usisahau kuacha ‘comment’ yako.