Idadi ya waliofariki ajali ya moto mkoani Morogoro yaongezeka, Utambuzi wa miili ya marehemu na mazishi kufanyika leo (+video)
Habari
August 11, 2019 - 12:24 pm
Idadi ya waliofariki ajali ya moto mkoani Morogoro yaongezeka, Utambuzi wa miili ya marehemu na mazishi kufanyika leo (+video)
Idadi ya watu waliofariki kwenye ajali ya moto mkoani Morogoro imeongezeka kutoka idadi ya watu 68 iliyotangazwa asubuhi na Waziri…
Serikali yatoa onyo kali kwa watu wanaoendelea kusambaza picha za miili ya waliopata ajali ya moto mkoani Morogoro
Habari
August 11, 2019 - 11:31 am
Serikali yatoa onyo kali kwa watu wanaoendelea kusambaza picha za miili ya waliopata ajali ya moto mkoani Morogoro
Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi, ametoa onyo kwa wananchi kuacha kusambaza picha…
TECNO Phantom 9 yapokelewa kwa shangwe na Watanzania
Mahojiano
August 11, 2019 - 6:25 am
TECNO Phantom 9 yapokelewa kwa shangwe na Watanzania
Ni takribani mwezi mmoja sasa umepita tangu, Kampuni pendwa hapa Tanzania ya simu za mkononi ya TECNO, Kuingiza sokoni simu…
RASMI: Huawei wazindua mfumo wao endeshi mpya wa ‘Harmony-OS’, Waahidi kuwapoteza Android sokoni
Technology
August 9, 2019 - 4:59 pm
RASMI: Huawei wazindua mfumo wao endeshi mpya wa ‘Harmony-OS’, Waahidi kuwapoteza Android sokoni
Hatimaye kampuni ya Huawei imezindua rasmi mfumo wake endeshi (Operating System) ujulikanao kwa jina la Harmony-OS utakaotumika kwenye simu zao…
MCHONGO: Atakayefanikiwa kudukua ‘Hacking’ simu za iPhone’s kulipwa Tsh. Bilioni 2
Fahamu
August 9, 2019 - 1:34 pm
MCHONGO: Atakayefanikiwa kudukua ‘Hacking’ simu za iPhone’s kulipwa Tsh. Bilioni 2
Kama wewe ni mtalamu wa uhalifu mitandaoni, Basi huenda ukawa bilionea endapo utafanikiwa kudukua simu pendwa duniani za iPhone na…
“Nilijilipia mahari mwenyewe ili niolewe, Wanaume wanaumiza sana” – Mchekeshaji Anne Kansiime
Burudani
August 9, 2019 - 11:10 am
“Nilijilipia mahari mwenyewe ili niolewe, Wanaume wanaumiza sana” – Mchekeshaji Anne Kansiime
Mchekeshaji maarufu nchini Uganda, Anne Kansiime amefunguka kwa mara ya kwanza namna alivyonyanyaswa na kuumizwa na aliyekuwa mume wake, Gerald…
Mwalimu ahukumiwa kifungo cha maisha kwa kosa la kulawiti, Mahakama yaamuru apigwe kwanza viboko kabla ya kutupwa jela
Habari
August 9, 2019 - 9:59 am
Mwalimu ahukumiwa kifungo cha maisha kwa kosa la kulawiti, Mahakama yaamuru apigwe kwanza viboko kabla ya kutupwa jela
Kijana Charles Msele (32) ambaye pia ni Mwalimu Mkuu wa shule ya msingi ya Rift valley English Medium and Primary…
Fahamu mambo matatu ambayo wakazi wa Dar hawatakiwi kufanya katika kipindi hiki cha mkutano wa SADC
Habari
August 7, 2019 - 12:28 pm
Fahamu mambo matatu ambayo wakazi wa Dar hawatakiwi kufanya katika kipindi hiki cha mkutano wa SADC
Mkutano wa 39 wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) mwaka huu unafanyika Tanzania Jijini Dar…
Haji Manara na wenzake watatu waburuzwa mahakamani
Habari
August 7, 2019 - 9:32 am
Haji Manara na wenzake watatu waburuzwa mahakamani
Afisa habari wa klabu ya Simba, Haji Manara na wenzake watatu wameburuzwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Imeelezwa kuwa…
UGANDA: Bobi Wine kuburuzwa mahakamani kwa tuhuma za kumkera na kumkejeli Rais Museveni
Habari
August 7, 2019 - 8:52 am
UGANDA: Bobi Wine kuburuzwa mahakamani kwa tuhuma za kumkera na kumkejeli Rais Museveni
Msanii wa muziki nchini Uganda, Robert Kyagulanyi maarufu maarufu kwa jina la Bobi Wine ameshtakiwa nchini humo kwa tuhuma za…
Tazama muonekano wa ujenzi wa magati mapya ya Bandari Dar (+video)
Habari
August 6, 2019 - 8:14 pm
Tazama muonekano wa ujenzi wa magati mapya ya Bandari Dar (+video)
Maendeleo ya ujenzi wa Bandari ya Dar es Salaam yanakwenda vizuri ambapo ujenzi wa magati 2 kati ya 7 yaliyopo…
Wananchi waliochomewa nyumba na vyakula waangua kilio mbele ya Waziri wa Mifugo, Wamtaka afikishe kilio chao kwa Rais Magufuli (+video)
Habari
August 6, 2019 - 6:00 pm
Wananchi waliochomewa nyumba na vyakula waangua kilio mbele ya Waziri wa Mifugo, Wamtaka afikishe kilio chao kwa Rais Magufuli (+video)
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina amesitisha operesheni ya kuwaondoa na kuwachomea nyumba, mazizi ya mifugo, makambi ya…
SIMBA DAY: Uwanja wa Taifa umejaa, Mo Dewji aagiza zifungwe TV nje ya uwanja mashabiki waendelee kuburudika
Michezo
August 6, 2019 - 4:46 pm
SIMBA DAY: Uwanja wa Taifa umejaa, Mo Dewji aagiza zifungwe TV nje ya uwanja mashabiki waendelee kuburudika
Katika kuadhimisha kilele cha Simba Day, Mashabiki wa klabu ya Simba wamefanikiwa kujaza uwanja wa Taifa. Hii ni kwa mujibu…
SIMANZI: Mama aporwa mtoto wake na Simba, Yadaiwa aliingia ndani na kuwakuta wakiwa wamelala kitandani
Habari
August 6, 2019 - 3:47 pm
SIMANZI: Mama aporwa mtoto wake na Simba, Yadaiwa aliingia ndani na kuwakuta wakiwa wamelala kitandani
Mtoto mmoja wa miaka 6 aliyetambulika kwa jina la Kangwa Manuga ameuawa na Simba, Baada ya kuchukuliwa kitandani akiwa amelala…
Watanzania 17 wachaguliwa kuwania tuzo za AFRIMMA 2019 nchini Marekani, Diamond aongoza kwa ‘nominations’
Awards
August 6, 2019 - 2:14 pm
Watanzania 17 wachaguliwa kuwania tuzo za AFRIMMA 2019 nchini Marekani, Diamond aongoza kwa ‘nominations’
Watanzania 17 wakiwemo wasanii wa muziki, waongozaji wa video za muziki, Watayarishaji wa muziki, Watangazaji na Madj’s wamechaguliwa kuwania tuzo…