Mabifu yaendelee, Kwani yanachangamsha muziki wetu ila tusiuane – Ommy Dimpoz
Burudani
November 10, 2019 - 4:02 pm
Mabifu yaendelee, Kwani yanachangamsha muziki wetu ila tusiuane – Ommy Dimpoz
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Ommy Dimpoz amesema kuwa tofauti za wasanii wa Bongo Fleva au Bifu ziendelee kwenye…
Msajili wa vyama vya siasa afunguka kukatwa jina la mgombea wa upinzani kwa kukosea kuandika ‘ACT Wazalendo’
Habari
November 10, 2019 - 3:14 pm
Msajili wa vyama vya siasa afunguka kukatwa jina la mgombea wa upinzani kwa kukosea kuandika ‘ACT Wazalendo’
Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Sisty Nyahoza amesema malalamiko yanayotolewa na vyama vya siasa hususani upinzani, Kuhusu kuenguliwa…
Tazama Diamond na Wizkid walivyoshambulia jukwaa la Wasafi Festival Dar (+Video)
Burudani
November 10, 2019 - 1:21 pm
Tazama Diamond na Wizkid walivyoshambulia jukwaa la Wasafi Festival Dar (+Video)
Tazama jinsi Wizkid alivyopanda jukwaani na Diamond Platnumz na kisha kushambulia jukwaa la Wasafi Festival Jijini Dar Es Salaam usiku…
ATCL wamjibu Mbunge aliyewakosoa wahudumu wao wa kike kukosa mvuto kwa wateja
Habari
November 8, 2019 - 10:45 am
ATCL wamjibu Mbunge aliyewakosoa wahudumu wao wa kike kukosa mvuto kwa wateja
Baada ya kauli ya Mbunge wa Kigoma Kusini (CCM), Husna Mwilima kusema kuwa wahudumu wa ndege wanaoajiriwa na Shirika la…
Producer wa ngoma ya ‘Baba Lao’, S2kizzy ajibu tuhuma za ku-copy ngoma ya ‘Soapy’ ‘Hatuwezi, Diamond ni msanii mkubwa duniani’
Habari
November 8, 2019 - 9:19 am
Producer wa ngoma ya ‘Baba Lao’, S2kizzy ajibu tuhuma za ku-copy ngoma ya ‘Soapy’ ‘Hatuwezi, Diamond ni msanii mkubwa duniani’
Mtayarishaji wa muziki nchini Tanzania, S2Kizzy ambaye ndiye aliyefanya ngoma ya ‘Baba Lao’ amefunguka kuhusu ku-copy ngoma ya ‘Soapy’ ya…
T.I aushangaza ulimwengu juu ya malezi ya binti yake ‘Kila mwaka namkagua bikra, Sitaki aharibikiwe na mapenzi’
Burudani
November 7, 2019 - 5:05 pm
T.I aushangaza ulimwengu juu ya malezi ya binti yake ‘Kila mwaka namkagua bikra, Sitaki aharibikiwe na mapenzi’
Rapper maarufu duniani kutoka nchini Marekani, T.I amesema kuwa ana desturi ya kufanya check-up ya familia yake mara moja kwa…
MUSIC VIDEO: Nandy amtungia wimbo Rais Magufuli ‘Ni raha tupu kuwa naye’
Habari
November 7, 2019 - 12:01 pm
MUSIC VIDEO: Nandy amtungia wimbo Rais Magufuli ‘Ni raha tupu kuwa naye’
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Nandy ameachia wimbo wa kumpongeza Rais Magufuli kwa kazi kubwa aliyoifanya ndani ya miaka…
Matumizi ya Bangi bado changamoto Tanzania, Mara na Tanga vinara kwa uzalishaji
Habari
November 7, 2019 - 11:06 am
Matumizi ya Bangi bado changamoto Tanzania, Mara na Tanga vinara kwa uzalishaji
Matumizi ya dawa za kulevya aina ya bangi, yametajwa bado ni tatizo nchini, huku mkoa wa Mara ukiwa ni kinara…
MUSIC AUDIO: Diamond aachia ngoma yake mpya ya ‘BABA LAO’. Je, ni kweli ame-copy na ku-paste ngoma ya ‘Soapy’ ya Naira Marley?
Muziki
November 7, 2019 - 10:20 am
MUSIC AUDIO: Diamond aachia ngoma yake mpya ya ‘BABA LAO’. Je, ni kweli ame-copy na ku-paste ngoma ya ‘Soapy’ ya Naira Marley?
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz ameachia wimbo wake mpya wa ‘BABA LAO’, Wimbo ambao umegonga vichwa vya habari…
Kila mwanaume anatamani kuwa na Vanessa Mdee, Nampenda sana Rotimi – JUX
Burudani
November 6, 2019 - 3:40 pm
Kila mwanaume anatamani kuwa na Vanessa Mdee, Nampenda sana Rotimi – JUX
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, JUX amesema kuwa amefurahi sana kumuona mpenzi wake wa zamani, Vanessa Mdee kupata mchumba…
Serikali yatoa angalizo kwa viongozi wa umma wasio waaminifu kazini ‘Fedha ya Watanzania ni kaa la moto’ (+Video)
Habari
November 6, 2019 - 1:30 pm
Serikali yatoa angalizo kwa viongozi wa umma wasio waaminifu kazini ‘Fedha ya Watanzania ni kaa la moto’ (+Video)
Serikali ya Tanzania imesema kuwa itaendelea kutumbua viongozi wote watakaoshindwa na kasi ya maendeleo ya Rais Magufuli, na wale watakaokuwa…
Kadi nyekundu ya Son Heung-min yafutwa, FA wasema ‘Adhabu ilikuwa kubwa’
Michezo
November 6, 2019 - 10:57 am
Kadi nyekundu ya Son Heung-min yafutwa, FA wasema ‘Adhabu ilikuwa kubwa’
Klabu ya Tottenham Hotspurs ya Uingereza imeruhusiwa kumtumia winga wao, Son Heung-min katika mechi tatu zijazo baada ya Chama cha…
Deni la taifa lafikia Tsh. Trilioni 52, Serikali yaeleza sababu za kuongezeka kwa deni hilo
Habari
November 6, 2019 - 10:26 am
Deni la taifa lafikia Tsh. Trilioni 52, Serikali yaeleza sababu za kuongezeka kwa deni hilo
Serikali imesema hadi kufikia Agosti mwaka huu, Deni la Taifa lilifikia Tsh. Trilioni 52.303 kulinganishwa na Tsh. trilioni 49.283 katika…
DStv yaja na Shangwe za Sikukuu, Watu kununua ving’amuzi vyenye ofa kabambe kwa bei chee (+video)
Michezo
November 5, 2019 - 3:41 pm
DStv yaja na Shangwe za Sikukuu, Watu kununua ving’amuzi vyenye ofa kabambe kwa bei chee (+video)
Kampuni ya MultiChoice Tanzania imetangaza kuzindua rasmi kampeni yake ya msimu wa sikukuu ijulikanayo kama “Shangwe za Sikukuu na DStv”…
Burna Boy, Wizkid kuiteka Dar kwa burudani (+Video)
Habari
November 5, 2019 - 3:19 pm
Burna Boy, Wizkid kuiteka Dar kwa burudani (+Video)
Wasanii wawili wakubwa nchini Nigeria, Burna Boy na Wizkid wanatarajiwa kutumbuiza Jijini Dar Es Salaam mwezi huu Novemba 2019 kwenye…