Burudani
BASATA wafunguka ‘Roma na Stamina ni watu waajabu’ (Video)
Bazara la Sanaa Taifa (BASATA) limefunguka kukanusha taarifa ambazo zimeenezwa na Roma na Stamina kwamba waliitwa na kuhojiwa na baraza hilo kwaajili ya wimbo wao mpya uitwao Parapanda. Katibu Mkuu wa Basata Godfrey Mngereza amedai wasani hao waliitwa na baraza hilo kwaajili ya kuelekezwa mambo kadhaa kuhusu kazi zao kwa kuwa wao ndio walezi wa wasanii wote.
Ingia instagram kwa page ya stamina au roma utakuta wamepost barua ikiwahitaji waitike wito BASATA
Bro We Hatar Du
Kusalangia kaka Said Said Athuman