Habari
Chadema haitafutika na hakuna mtu atakayeifuta – M/Kiti Bavicha (+video)
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana Taifa(Bavicha), Patric Sosopi amesema kuwa wanaijua mikakati inayopangwa na Msajili wa vyama kuifuta Chadema, ameeleza kuwa Chama hicho hakitakufa wala kufutika na hakuna mtu atakayekifuta.