Habari
Chadema kufanya mikutano Dar nzima (+video )
Mwenyekiti Chadema Taifa, Freeman Mbowe ametangaza kuitisha kufanyika kwa mikutano nchi nzima baada ya kutoka gereza la Segerea na kuachiwa kwa dhamana jana. Mbowe ameyasema hayo akiongea na wanachama wa CHADEMA Mkoa wa Dar es Salaam Makao makuu ya Chama hicho yaliyopo kinondoni jijini Dar es salaam.