Burudani
Christian Bella na Meja Kunja mkali wa wimbo ‘Mamu’ kufanya show ya Funga Mwaka Tabata (Video)
Msanii wa muziki Christian Bella pamoja na muimbaji wa wimbo Mamu, Meja Kunta watafanya show ya nguvu ya Funga Mwaka katika ukumbi wa Mona Lounge (Da, West).