Habari
DJ Choka Apata Mtoto Wa Kiume, Congrats!
Well,leo ni one of the best days ever kwa Blogger pamoja na Dj maarufu wa bongo Flava na Hip Hop ya Kitanzania, Dj Choka, ambaye mapema leo, yeye na Baby mama wake wamejaaliwa mtoto wa kiume.
Kwa mujibu wa Tweet ambayo ameipost asubuhi hii, Choka ameelezea furaha yake na pongezi zake kwa baby mama wake ambaye amempatia toto dume.
Thanks GOD baada ya kuzaliwa mtoto wa kiume mwenyewe katika familia yangu hatimaye mpenzi wangu amejifungua now mtoto wa KIUME.
— 🇹🇿 (@ankochoka) November 22, 2012
Hongera nyingi na pongezi za kutosha kutoka kwa team bongo5 to Choka na his new family.