Habari

Dkt Mwinyi aifungua Shule ya Kiwani

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Hussein Ali Mwinyi ameipongeza Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali kwa kuwa vinara wa kutekeleza vizuri Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025.

 

Rais Dk.Mwinyi amesema Serikali itaendelea kuweka kipaumbele katika Sekta ya Elimu ambapo Rais Dk.Mwinyi amevipongeza Vyombo vya Ulinzi na Usalama kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kuendelea kudumisha amani na utulivu nchini.

 

Kwa upande mwingine Rais Dk.Mwinyi amesema Muungano ni muhimu kwa mustakabali wa maendeleo , amewataka Wananchi kuhakikisha wanaendelea kudumisha Muungano.

 

 

 

 

 

Imeandikwa na Mbanga B.

 

 

 

 

 

CC:Millard Ayo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents