Habari

Google kuwazawadia Waafrika 5 kila mmoja $25,000 wenye story ya kuvutia jinsi Internet ilivyobadilisha maisha yao

Kampuni ya Google imetangaza shindano kwa wajasiriamali, wabunifu na wapenzi wa internet barani Afrika kuhusu story zinazohusiana na jinsi mtandao ulivyobadilisha maisha na kazi zao.

go

Kwenye shindano hilo, washindi watano watashinda $25,000 kila mmoja na pia watapata shavu la kufanya kazi na mdhamini wa Google kwa miezi sita. Shindano hilo liitwalo ‘Google’s new initiative, ‘Africa Connected: Success stories powered by the web’, lina lengo la kukusanya story za kutia moyo kuhusu miradi ya mtandaoni iliyoanzishwa na Waafrika.

“Google inataka kusikia kutoka kwa vijana, wajasiriamali wa mtandaoni barani Afrika ambao wanatumia mtandao na teknolojia kubadilisha dunia na kupata mafanikio,” alisema Affiong Osuchukwu wa Google Africa.

Categories for entries include Education;

Entertainment/Arts/Sports; Technology; Community and NGOs; and Small Businesses.

Submissions are open from August 27, 2013 to October 11, 2013. The competition will run until February 2014 when the winners will be announced.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents