Burudani

Hanscana amshindwa Darassa ‘ana brand iliyonizidi nguvu’ (Video)

Mtayarishaji wa muziki, Hanscana amesema hawezi kumsimamia rapa Darassa kwa kuwa ni msanii mkubwa ambaye amemzidi katika ukubwa brand. Director huyo wa video za muziki amefungua label yake mpya ya muziki na kuanza kumsaini msanii aitwaye, Mario.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents