Burudani

Hili dongo la Lulu ni kwa WCB?

Mrembo kutoka kiwanda cha filamu Bongo, Elizabeth Micheal maarufu Lulu ameamua kutupa jiwe gizani katika mtandao wa kijamii wa Twitter ambapo ameandika umeshagundua kitu kizuri ukikifanya kwa nia mbaya hakifanikiwi kwa uzuri wote.

Kupitia mtandao huo Lulu ameandika “Hivi Umeshagundua Kitu Kizuri Ukikifanya kwa Nia Mbaya Hakifanikiwi Na Uzuri wake woooooote…!?.”

Kauli ya mrembo huyo imetafisiriwa kuwa ni ndogo kwa WCB, baada ya kuachia ngoma siku sawa na Alikiba, kitendo ambacho ngoma ya Alikiba imeonyesha ikiwa na kasi ya kupata views wengi na kutreanding kwa muda mrefu.

Na Laila Sued

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents