Jason Derulo awekwa kitimoto Afrika Kusini baada ya kuwauliza kama wanajua Kiingereza!
Jason Derulo ameiona ziara yake ya Afrika Kusini chungu baada ya kutamka maneno yaliyowakera wasouth wengi.
Muimbaji huyo wa Marekani alitoa kauli hiyo wakati wa tuzo za ANN7, South African of the Year jijini Johannesburg.
“Y’all speak English, right?” aliuliza.
Mashabiki wa muziki waliohudhuria show hiyo walikimbilia kwenye mitandao ya kijamii kuelezea kuchukizwa kwao na kauli hiyo.
Baada ya kushambuliwa Jason alilazimika kuandika kwenye Twitter: ‘Speaking English’ remark I made, was directed to a specific table. It wasn’t literal just a figure of speech when someone isn’t responding.”
Hizi ni baadhi ta Tweets
"Speaking English" remark I made, was directed to a specific table. It wasn't literal, just a figure of speech when someone isn't responding
— Jason Derulo (@jasonderulo) October 17, 2015
Before Jason Derulo asked us if we speak english? #SATY2015 pic.twitter.com/0qfLthGQSc
— Nomuzi Mabena (@NoMoozlie) October 17, 2015
Jason Derulo, at the South African of the Year Awards, asked the audience if they speak English. @BarackObama, please come fetch him.
— Tats Nkonzo (@TatsNkonzo) October 17, 2015
Jason Derulo asking South Africans if they can speak English? Can he even sing? Let's start there ?
— Beyoncé of the Gays (@iKeepGaysHumble) October 17, 2015
(?) RT @myo_56565: tell us how we should deal w Jason Derulo he just Asked SAns if they speak english,any ideas as to how to deal?
— Talib Kweli Greene (@TalibKweli) October 17, 2015