K2ga afunguka kuhusu kudaiwa kumkimbia Alikiba Kings Music (+Video)
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva aliyopo chini ya lebo ya @kingsmusicrecords inayosimamiwa na @officialalikiba @k2ga_tz amefunguka kuhusu taarifa za yeye kujiengua katika lebo hiyo baada ya kukosekana kwenye baadhi ya Show za Alikiba.
Mbali na hilo @k2ga_tz amezungumzia kuhusu @officialcheed na @officialkilly_tz kuondoka Kings Music na kusema kuwa huwa anachati nao ila sio sana.
@k2ga_tz ameongeza kuwa wakati anaenda Kings Music alianmbiwa Alikiba ana roho mbaya sana kutokana na anavyoimba kama yeye.
https://www.youtube.com/watch?v=62gvWNeiOvs&t=142s
https://www.youtube.com/watch?v=Sn5uDWo8R0M
https://www.youtube.com/watch?v=Hx3d4Gb1kk0
https://www.youtube.com/watch?v=z8WVa5d3PLg
https://www.youtube.com/watch?v=IaWx8y3-tcI
https://www.youtube.com/watch?v=0NgBsSLxvbU
https://www.youtube.com/watch?v=pPh8nS0QhPs