Habari
Kaka yake na Pancho awaonya wanaosema mdogo wake alienda kula bata Mbudya (+Video)
Alienda kikazi na sio kula bata
Kaka wa marehemu Pancho amefunguka mwanzo mwisho juu ya kile kinachoongelewa na watu mbalimbali kuhusu msiba wa mdogo wake. Alisema kuwa ” Sisi tunachojua amezama kwenye maji mengine hatuyajui kikubwa tumpumzishe ndugu yetu” alipoulizwa kuhusu kwenda Mbudya alisema “Alienda kikazi na sio kula bata kama watu wengi wanavyodai”
Lakini pia aliongeza ” Yeye ndio aliyemfundisha Pancho mambo ya muziki kwa yeye ni mwalimu ya sanaa,kwahiyo Pancho alipitia kwenye mikono yake.
By Ally Juma.