Habari

Kamanda wa polisi mkoa wa Singida afariki dunia

Aliyekuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Singida, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Peter Kakamba amefariki dunia leo alfajiri katika hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu.

dsc_0145

Mwili wa Marehemu utaagwa leo saa 11: 00 jioni katika hiyo na baadaye kusafirishwa kwenda Singida kwaajili ya kuagwa tena na baadaye kwenda nyumbani kwao Rukwa kwaajili ya mazishi.

Kamanda Kakamba alikuwa amelazwa hospitalini hapo akisumbuliwa na maradhi ya tumbo na alikuwa amefanyiwa oparesheni hivi karibuni.

BY: EMMY MWAIPOPO

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents