KTMA 2015: Performance na wasanii wakikabidhiwa tuzo zao (Picha)
Hii ni fursa ya kuona kwa picha jinsi wasanii mbalimbali walivyopanda jukwaani Jumamosi hii kutumbuiza kwenye tuzo za KTMA 2015 pamoja na wale walioshinda tuzo.
Show hiyo ambayo ilionyesha kuwafurahisha watu wengi waliohudhuria kwenye ukumbi wa Mlimani City, na burudani kutoka kwa Barnaba, Ben Pol, Weusi, Ommy Dimpoz, Christian Bella, Vanessa Mdee na Ruby.
Tazama picha zaidi.
Isha Mashauzi akikabidhiwa tuzo
Joh Makini akiwa mwenye furaha baada ya kutwaa tuzo
Joh Makini akizungumza jambo na mashabiki wake
Jose Mara akionyesha tuzo yake
Jux akicheza na watu wake wa karibu
Miss Tanzania 2015, Lilian Kamanzima akijiandaa kumtangaza mshindi
Maria Sarungi akijipanga kukabidhi tuzo
Martin Kadinda akijiandaa kukabidhi zawadi
Mpoto akinyoosha tuzo yake hewani baada ya kutangaza kuwa ni mshindi
Mpoto
Mrisho Mpoto akifanya yake
Mtu wa karibu wa Alikiba
Mzazi Tuva akimkabidhi tuzo mwakilishi wa Sauti Sol
Mzazi Tuva kutoka Citizen TV akikabidhi tuzo
Nahreal akishukuru baada ya kupokea tuzo
Nahreal akiwa mwenye furaha na wenzake
Queen Doreen akimchukulia tuzo Diamond
Vanessa Mdee akifanya yake kabla ya kutangazwa mshindi
Wema Sepetu akimkabidhi tuzo Joh Makini
Weusi wakiwa kwenye stage
Barakah Da Prince akiwa na timu yake ya Tetemesha baada ya kuchukua tuzo
Meneja udhamini wa TBL, George Kavishe
DJ Fetty