Burudani

Lil Wayne alazwa tena hospitali

Lil’ Wayne amelazwa tena hospitali kutokana na kushambuliwa na kifafa. Kulazwa kwake kumekuja wiki kadhaa baada ya kulazwa tena kwa tatizo kama hilo.

img-lil-wayne-cover_17135846584

Mtandao wa TMZ umeripoti kuwa Wayne alipekwa hospitali ya Cedars-Sinai juzi usiku na walinzi wake ambako alitibiwa na kutolewa jana.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents