Habari

Makonda kula sahani moja na makundi ya uhalifu Dar

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameahidi oparesheni maalumu dhidi ya makundi ya uhalifu yaliyo jijini Dar inayotarajia kuanza hivi karibuni.

1

Ameyasema hayo Alhamisi hii katika chuo kikuu cha Dar es Salaam wakati akitoa salamu za Rais John Magufuli katika uzinduzi wa hosteli mpya za chuo hicho.

Makonda alisema kuwa ofisi yake itaanza oparesheni hiyo kuondoa magenge ya wahalifu jijini kwakuwa ni changamoto inayoukabili mkoa huo kwa sasa.

BY: EMMY MWAIPOPO

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents