Habari
Mama wa Kocha wa Man City Pep Guardiola afariki kisa Corona akiwa na miaka 82, Man United wampa pole
Mama wa Kocha wa Man City Pep Guardiola afariki kisa Corona akiwa na miaka 82, Man United wampa pole
Kupitia ukurasa wa Twitter wa klabu ya Manchester City imethibitisha kuwa mama mzazi wa kocha wa klabu hiyo Pep Guardiola amabye anajulikana kwa jina la Dolors Sala CarriĆ³, amefariki dunia kutokana na virusi vya Corona! Mama amefariki akiwa na umri wa miaka 82.
Everyone at Manchester United is saddened to hear this terrible news. We send our heartfelt condolences to Pep and his family. #ACityUnited https://t.co/vN3impeJy4
— Manchester United (@ManUtd) April 6, 2020
By Ally Juma.