Maurice Kirya na mama yake katika cover la Flair Magazine
Jarida la Flair la nchini Uganda limewatumia msanii Maurice Kirya na mama yake Sophie Baguma Munobi ama Ziggy kama anavyoitwa na mwanae huyo na kuipa habari yao kichwa cha habari kisemacho ‘Mothering Maurice’.
Hizi ni baadhi ya picha hizo.