Burudani

MBOSSO: Queen Darleen alitamani sana kuolewa, alikuwa tayari kuwa mke wa nne

Mbosso ambaye ni mmoja kati ya wasanii wa WCB waliohudhuria ndoa ya Queen Darleen na mfanyabiashara Isihaka ambapo amedai anawashangaa watu wanaodhani kwamba ilikuwa ni kiki.

Muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri na wimbo Ate amedai, Darleen alikuwa tayari hata kuolewa na mwanaume na kuwa mke wa nne

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents