Burudani
MC Pilipili kuisaliti kambi ya ukapera, angalia video ya Send-Off ya ndoa yao (Video)
MC wa Taifa, MC Pilipili Jumamosi hii atafunga ndoa na mpenzi wake, Mena itakayofanyika katika kanisa moja huko Mbezi jijini Dar es salaam.
MC wa Taifa, MC Pilipili Jumamosi hii atafunga ndoa na mpenzi wake, Mena itakayofanyika katika kanisa moja huko Mbezi jijini Dar es salaam.