Mahojiano
Meneja amchana Baraka mbele yake “Baraka mvivu sana haendi na muda, Yeye ndio alinitafuta nifanye nae kazi” – Video
Meneja amchana Baraka mbele yake "Baraka mvivu sana haendi na muda, Yeye ndio alinitafuta nifanye nae kazi" - Video
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva @barakahtheprince_ alivyompigia simu mpenzi wake @najdattani kudhibitisha kuwa bado hawajaachana sababu za kutopost wimbo wa Baraka NIMEKOMA.
Mbali na hilo @barakahtheprince_ amezungumzia sakata lake na @konki3master Lakini pia meneja @faky_junior ampa makavu vitu asivyopenda kutoka kwa Baraka na kusema kuwa @barakahtheprince_ hayuko ontime.
By Ally Juma.