Burudani

Mimba imekua kubwa: Picha hii yathibitisha rasmi Zari ni ‘mama kijacho’

Zari the Bosslady yupo nchini alikokuja kumsalimia mpenzi wake, Diamond Platnumz.

924472_1619103354970185_370541688_n

Hivi karibu kulianza kuzuka maneno kutoka kwa baadhi ya watu kuwa wana mashaka na kama kweli mrembo huyo wa Uganda ni mjamzito.

Lakini kwa mujibu wa picha iliyosambaa mtandaoni leo, ni kweli Zari anatarajia kuwa mama kwa mara ya nne.

11049344_357710691095575_892382038_n

Kwenye picha hiyo, Zari anaonekana akiwa amevaa gauni jekundu ambalo linaonesha wazi jinsi mimba yake ilivyokuwa.

Picha hiyo imevuta hisia za wengine akiwemo Ray C aliyeipost kwenye Instagram na kuwataka mashabiki wake wamtaje baba wa mtoto huyo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents