Burudani

Msanii YJ aliyemng’ata meno Niva afunguka kisa na mkasa (Video)

Msanii wa muziki @yj_tz amefunguka kuzungumzia clips yake ya video iliyosambaa mitandaoni akigombana na msanii wa filamu Niva mpaka kufikia hatua ya kung’atana meno. Msanii huyo amedai siku ya tukio alitembelewa katika baa yake na msanii huyo kuanza kufanya fujo kitendo ambacho alidai alishindwa kukivumilia.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents