Burudani
New Music: Nick wa Pili ft. Joh Makini – Bei ya Mkaa (*Very Hot*)
Bei ya Mkaa? Nick wa 2 ni bingwa wa kutengeneza vichwa vya habari unique. Msikilize hapa kwenye wimbo wake mpya aliomshirikisha kaka yake Joh Makini. Ngoma hii yenye beat kali imetengenezwa kwa ushirikiano wa Mnavy Kenzo, Nah Reel na Chizan Brain.