Ngoma mpya kutoka kwa rapper Ezden aka The Rocker ambayo inakua kama ngoma ya kwanza baada ya kurekodi ngoma nyingi sana tangu 2011. ameanza rasmi na hii na soon inafuata video, Rekodi inaitwa “NIKO HIVI” amemshirikisha Squeezer Producer Emax
Join our mailing list to get the latest news!
Related Articles
Leave a Reply
Check Also
Close
-
New Video: Jamwe He Ft Chege -NadoJanuary 17, 2018 - 12:44 am
-
Video: Ivrah – TusheherekeeDecember 25, 2017 - 5:01 pm