Picha: Betty Boniface atwaa taji la Miss Universe Tanzania 2013
Mrembo Betty Boniface wa Dar es Salaam jana ameibuka mshindi wa shindano la Miss Universe Tanzania 2013 lililofanyika kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam.
Miss Universe Tanzania 2013, Betty Boniface baada ya kutangazwa mshindi, pembeni ni mshindi wa mwaka jana, Winfrida
Warembo wengine walioingia tano bora ni pamoja na Clara Noor,Consolata Mosha,Irene Nsiima na Aziza Victoria.
Betty (katikati) akiwa na washindi wa pili (Miss Earth Tanzania, Clara Noor) na mshindi wa tatu
Mrembo akimpongeza Clara aliyeshinda taji la Miss Earth Tanzania. Mwaka huu mshindi wa pili amevikwa moja kwa moja taji la Miss Earth Tanzania na Mshindi wa tatu amekuwa runner up
Warembo walioingia Top 5
Miss Universe Tanzania 2013 na warembo wengine wakiwapungia mikono watu waliohudhuria fainali hizo
Timu ya Compass Communications ilizunguka takriban Mikoa 8 ya Tanzania kufanya usahili kwa kila mkoa ili kupata wawakilishi wa mikoani katika kinyang’anyiro hiki. Mikoa hiyo ni pamoja na Mwanza, Arusha, Mtwara, Manyara, Mbeya, Dodoma, Kilimanjaro na Dar es Salaam. Jumla ya washiriki 15 wataingia kambini kuchuana kumpata Mwakilishi wa Tanzania katika fainali za dunia zitakazofanyika nchini Moscow,Urusi
Mashindano ya Miss Universe kwa hapa Tanzania yalianza rasmi mwaka 2007 ambapo Tanzania iliwakilishwa na Flaviana Matata na kufanikiwa kuingia katika kumi bora na mwaka 2008 yaliwakilishwa na Amanda Ole Sulul, 2009 yaliwakilishwa na Illuminata James ambapo mwaka 2010 mrembo Hellen Dausen ndiye aliyepokea kijiti, 2011 Nelly Alexandra Kamwelu na anayekabidhi taji mwaka 2012/2013 ni Winfrida Dominique.
Angela Lutataza
Aziza Victoriaa
Betty Boniface
Burudani pia ilikuwepo kutoka kwa vijana hawa
Clara Noor
Consolata Mosha
Dinah David
Enika akiimba kwa furaha
Erene Nsiima
Evans Bukuku akiwa na Enika wakitoa burudani
Evans Bukuku, MC wa fanaili hizo
Furaha ya ushindi Betty Boniface
Glady Msemo
Top 5 5
Hawa ndio walioingia tano bora
Hii ndo ilikuwa meza ya majaji wa Miss Universe Tanzania 2013
Kundi Mlingwa
Lord Herry akiwa Miss Universe Betty Boniface
Majaji wakifurahia burudani“
Mkurugenzi Mkuu wa Miss Universe Tanzania, Maria Sarungi akiongea machache
Mariam Ngwangwa
Mshindi wa 2 kushoto, Clara Noor na Mshindi No 1 katikati, Betty Boniface na Mshindi No 3 kulia, Aziza Victoria
Mzee Sarungi naye alikuwepo
Naomi Kisaka
Sasha Lukiko
“Upendo Dickson
Vestina Mhagama
“Washiriki wote wakiwa stejini wakisubiri kutajwa kwa Mshindi wa Miss Uneverse Tanzania 2013
Winfrida Dominic akimkabidhi Ccrown mshindi mpya wa Miss Uneverse Tanzania, Betty Boniface