Burudani

Picha: Fiesta 2012 Tabora, Bhaaaaassss

Jana usiku ilikuwa zamu ya mkoa wa Tabora kupata ile burudani adhimu ya muziki wa Kizazi kipya ikiwa ni mwendelezo wa msimu wa Serengeti Fiesta kwa Mwaka 2012. Zaidi ya wasanii 10 wa muziki walipamba jukwaa katika Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mkoani huko.

Angali picha kwa yaliyojiri.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents