Burudani
Picha: J-Cole amekuja kufanya nini Tanzania?
Rapper wa Marekani, J-Cole ameonekana kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro Jumatano hii.
J-Cole akiwa KIA
Haijulikani amekuja kufanya nini lakini huenda ikawa ni safari binafsi.
Mtu mmoja aitwaye Keirocker amepost picha akiwa na rapper huyo kwenye Instagram na kuandika: Wow Just ran into the rapper J COLE at the Kilimanjaro Airport I couldn’t resist to ask for a picture.. A down to earth nigga raised_handsskin-tone-5raised_handsskin-tone-5 @realcoleworld.”
Yeye mwenyewe hajapost kitu kwenye mitandao ya kijamii. Post yake ya mwisho kwenye Instagram iliwekwa November 11 mwaka jana na Twitter August 30.