Tamasha la Jitambue kwa mara ya kwanza limefanyika leo kwenye viwanja vya Don Bosco jijini Dar es Salaam na kushuhudia burudani kutoka kwa wasanii wakali.
Fid Q akifanya yake
Jukwaa la tamasha hilo lilipambwa na wasanii wakiwemi Madee,Shetta,Kala Jeremiah,Young Killer, Navy Kenzo, Stereo, Young Dee, Godzilla, Vanessa Mdee na wengine wengi.
Kijana mwenye kipaji cha Dj aliomba kuonyesha manjonjo yake
Wadau wakifuatilia show ya Jitambue
Wapenzi wa burudani wakifuatulia muziki kwa makini
Jokate akiwa na Esi
Kala Jeremiah