Lady Jay DeePicha

Picha: Waraka wa mashtaka wa kesi inayomkabili Lady Jaydee

Huu ni waraka wa mashtaka wa kesi inayomkabili Lady Jaydee kwenye mahakama ya Kinondoni, Dar es Salaam iliyofunguliwa na Clouds FM.

969907_10151378946850025_206517926_n

Jaydee ameandika: Nadhani baada ya hii, maswali yatapungua kama sio kuisha kabisa…Nafahamu kila mtu anasoma kwa wakati wake pengine hamkuona sababu nilizoelezea kwanini sijatoa waraka mwingine Tar 15 kama nilivyo ahidi. Sababu ni kuwa mahakama imesema nisizungumzie hilo swala kwasasa, ambapo kesi bado iko mahakamani…Mpaka nitakapopewa ruhusa ya kuzungumza au kutozungumza tena.”

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents