Habari
Picha: Yaliyojiri katika uzinduzi wa kampeni ya usafi wa mazingira unaoendelea Dodoma
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu ameongoza mamia ya Watanzania katika uzinduzi wa Kampeni Taifa ya Usafi wa Mazingira awamu ya pili inayobeba jina la ‘Usichkulie poa – nyumba ni choo’.