Burudani

Prezzo na Goldie wahudhuria engagement party nchini Nigeria

Licha ya hivi karibuni Goldie kukanusha kutokuwa na uhusiano wowote na Prezzo, mastaa hao siku ya November 2 walionekana pamoja kwenye sherehe ya kuvalishana pete ya Olamide na Seun Oyeyip huko jijini Lagos.

Picha hizi zinaamsha tena tetesi kuwa huenda kweli mastaa hawa wakawa na uhusiano tofauti na jinsi wanavyosema wao.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents