Habari
Rais Magufuli aagiza jengo la Tanesco kuvunjwa
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amekagua ujenzi wa daraja la ghorofa tatu barabara ya Ubungo, na ameamuru sehemu ya jengo la TANESCO na jengo la Idara ya maji kwenye eneo la barabara kuvunjwa.
Soma taarifa: