Habari

Rais Magufuli ameleta Tsunami kwenye rushwa – Mwinyi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na rais mstaafu wa awamu ya pili,Dkt Ally Hassan Mwingi huku akisema kuwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere amepinga rushwa kwa nafasi yake lakini rais Magufuli kwenye suala la rushwa ameleta Tsunami.

mwinyi

Hii ni taarifa kutoka Ikulu;

whatsapp-image-2016-11-23-at-13-59-24

BY: EMMY MWAIPOPO

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents