Habari
Rais Magufuli ameleta Tsunami kwenye rushwa – Mwinyi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na rais mstaafu wa awamu ya pili,Dkt Ally Hassan Mwingi huku akisema kuwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere amepinga rushwa kwa nafasi yake lakini rais Magufuli kwenye suala la rushwa ameleta Tsunami.
Hii ni taarifa kutoka Ikulu;
BY: EMMY MWAIPOPO