Habari

Rais Magufuli atuma salamu za rambirambi kwa Waziri Mwakyembe

Kufuatia kifo cha Mke wa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe, Linah George Mwakyembe, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli ametuma salamu za rambirambi Waziri Mwakyembe na familia yake kwa ujumla.

Soma Taarifa zaidi hapa chini

Mke wa Mwakyembe Bi. Linah Mwakyembe amefariki usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Agha Khan alipokuwa akipatiwa matibabu.

By Godfrey Mgallah

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents