Habari
Rais Magufuli azungumza na Kamishna wa Kupambana na Dawa za Kulevya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amekutana na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya, Bw Rogers William Siyanga ambae amemhakikishia kazi ya kukabiliana na tatizo la biashara na matumizi ya dawa za kulevya.
Soma taarifa kamili:
Na Emmy Mwaipopo