Habari
Rais Magufuli katengua uteuzi wa waziri Charles Kitwanga
Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli kaamua kutengua uteuzi wa wa waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Charles Kitwanga.
Rais Magufuli amemfuta waziri Kitwanga kutokana na waziri huyo kuingia Bungeni kujibu swali linalohusu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi akiwa amelewa.
Hii ndio video ikimuonyesha Waziri Kitwanga akijibu maswali hayo Bungeni huku akidaiwa kuwa amelewa