Rais Obama na mastaa wengine wa muziki Marekani waiombea Oklahoma iliyokumbwa na Kimbunga
Mji wa Oklahoma wa jimbo la Oklahoma la nchini Marekani Jumatatu ya wiki hii (May 20) ulikumbwa na kimbunga kikubwa kilisababisha vifo vya takribani watu 50 nusu yake wakiwa ni watoto wa shule.
Tukio hilo limewagusa watu wengi wakiwemo mastaa mbalimbali, ambao wametumia nafasi zao kuwaombea na kuwafariji waathirika wa kimbunga hicho.
Kupitia mtandao wa twitter Rais wa Marekani Barrack Obama pamoja na baadhi ya mastaa wakiwemo Alicia Keys, Rihanna, Katy Perry, Chris Brown na wengine wamechukua jukumu la kuwafariji na kuwaombea wote walioathirika.
“Our prayers are with the people of Oklahoma today.”—President Obama
— Barack Obama (@BarackObama) May 21, 2013
So much going on in the world…I’m saddened by the devastating news… My thoughts and prayers are with all those affected #PrayForOklahoma
— Alicia Keys (@aliciakeys) May 21, 2013
Sending out prayers for the people of Oklahoma tonight. Let’s help, just text REDCROSS to 90999 to donate 10 dollars to those in need. ❤
— Katy Perry (@katyperry) May 21, 2013
Sending mylove and prayers to the people of Oklahoma.#PrayForOklahoma.
— Chris Brown(@chrisbrown) May 21, 2013