Michezo
Ratiba ya michuano ya Afcon 2019 Misri yatoka, Samata uso kwa uso na Mane kwenye ufunguzi
Baada ya ratiba hiyo kutoka mkufunzi wa timu ya taifa Stars nchini Tanzania Emmanuel Amuneke ametabiri kwamba majina makubwa katika kimnyanganyiro hicho huenda yakayaaga mapema mashindano hayo . Nyota huyo wa zamani wa Nigeria na barcelona anafikiri kwamba timu zisizo za majina makubwa katika mchezo huo huenda zikayashangaza mataifa makubwa.
Raundi ya Kwanza | ||
Tarehe na Muda | Mataifa | Mataifa |
---|---|---|
21.06. 23:00 | Egypt | Zimbabwe |
22.06. 17:30 | D.R. Congo | Uganda |
22.06. 20:00 | Nigeria | Burundi |
22.06. 23:00 | Guinea | Madagascar |
23.06. 17:30 | Morocco | Namibia |
23.06. 20:00 | Senegal | Tanzania |
23.06. 23:00 | Algeria | Kenya |
24.06. 17:30 | Ivory Coast | South Africa |
24.06. 20:00 | Tunisia | Angola |
24.06. 23:00 | Mali | Mauritania |
25.06. 20:00 | Cameroon | Guinea Bissau |
25.06. 23:00 | Ghana | Benin |
Raundi ya pili | ||
26.06. 17:30 | Nigeria | Guinea |
26.06. 20:00 | Uganda | Zimbabwe |
26.06. 23:00 | Egypt | D.R. Congo |
27.06. 17:30 | Madagascar | Burundi |
27.06. 20:00 | Senegal | Algeria |
27.06. 23:00 | Kenya | Tanzania |
28.06. 17:30 | Tunisia | Mali |
28.06. 20:00 | Morocco | Ivory Coast |
28.06. 23:00 | South Africa | Namibia |
29.06. 17:30 | Mauritania | Angola |
29.06. 20:00 | Cameroon | Ghana |
29.06. 23:00 | Benin | Guinea Bissau |
Raundi ya tatu | ||
30.06. 19:00 | Burundi | Guinea |
30.06. 19:00 | Madagascar | Nigeria |
30.06. 22:00 | Uganda | Egypt |
30.06. 22:00 | Zimbabwe | D.R. Congo |
01.07. 19:00 | Namibia | Ivory Coast |
01.07. 19:00 | South Africa | Morocco |
01.07. 22:00 | Kenya | Senegal |
01.07. 22:00 | Tanzania | Algeria |
02.07. 19:00 | Benin | Cameroon |
02.07. 19:00 | Guinea Bissau | Ghana |
02.07. 22:00 | Angola | Mali |
02.07. 22:00 | Mauritania | Tunisia |
By Ally Juma.