Burudani

Rayvanny: Siwezi kuivimbia WCB (Video)

Msanii wa muziki @rayvanny ameuzungumzia wimbo wake wa Amaboko ambao umetajwa na Apple kama wimbo namba moja kwa sasa Afrika.

Muimbaji huyo amedai kwa sasa yupo busy kwenye muziki wake kwa kuwa tayari chart kubwa za muziki zimekuwa zikimfutilia kwa ukaribu zaidi.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents