Habari

Shilole azua gumzo wakati droo ya tatu ya Shinda na Sim Account kutoka CRDB ikichezeshwa (Video)

Kingereza cha Shilole chazua gumzo wakati CRDB wakiwatangaza washindi wa droo ya tatu ya Shinda na Sim Account . Katika ndoo ya leo mshindi wa milioni 2 ni Mbwana Cathbeth Lusingo na mshindi mwingine wa milioni moja ni mwanadada Adela Mohamed. Ili na wewe ushinde unatakiwa kupiga *150*62#.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents