Habari

Soundbite of the Day: Majina ya Hip Hop yalivyompa shida aliyesoma nominations za Kili Awards

Majina ya wasanii wa Hip Hop wakati mwingine ni magumu kuyatamka kama hujayazoea. Mapema leo baraza la sanaa Tanzania, BASATA, limetaja majina ya wasanii watakaowania tuzo za Kili mwaka 2013 ambapo msomaji wa majina hayo kutoka BASATA alijikuta akipata shida kutamka baadhi ya maneno likiwemo jina la wimbo wa Nikki wa 2, Bum Kubum. Msikilize hapa.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents