Habari
Spika Ndugai atuma salamu za rambirambi kwa Dkt Mwakyembe
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amemtumia salamu za rambirambi kwa Waziri Dkt. Mwakyembe kufuatia kifo cha mkewe Linah George Mwakyembe kilichotokea usiku wa Julai 15 katika hospitali ya Agha khan.
Soma taarifa kamili:
Na Emmy Mwaipopo