Habari

Taarifa ya ufafanuzi wa mama kuibiwa mtoto pacha katika hospitali ya Temeke

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto ilipata taarifa toka Ofisi ya mkoa wa Dar es salaam na vyombo vya habari kuhusu malalamiko Bi Asma Juma kuibiwa mtioto wake Pacha alipojifungua katika hospitali ya Temeke mnamo tarehe 19/3/2017.

Soma taarifa ya ufafanuzi huo:


Na Emmy Mwaipopo

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents