HabariUncategorized
Taasisi ya Moyo ya JK yafanya upasuaji wa moyo usiokuwa wa kawaida, moyo na mapafu vinasimamishwa kwa muda (Video)
Taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete imeendelea kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa ambapo wiki hii wamefanya upasuaji mkubwa ambao ni wa pili kuwahi kufanyika nchini Tanzania.