Habari
Tamasha la Nyama Choma kufanyika March 2 (Kijitonyama Postal Ground DSM)
Tamasha la nguvu la kila mwaka la Nyama Choma linatarajia kufanyika tena mwaka huu (March 2) kwenye viwanja vya Posta Kijitonyama jijini Dar es Salaam. Maelezo zaidi yapo kwenye poster hiyo hiyo juu.